sw_mat_text_reg/18/21.txt

1 line
194 B
Plaintext

\v 21 Tena Petro akaja na kumwambia Yesu, "Bwana, ni mara ngapi ndugu yangu akinikosea nami nimsamehe? Hata mara saba?" \v 22 Yesu akamwambia, "Sikuambii mara saba, lakini hata sabini mara saba.