sw_mat_text_reg/09/37.txt

1 line
188 B
Plaintext

\v 37 Naye akawaambia wanafunzi wake. "Mavuno ni mengi, lakini wafanya kazi ni wachache. \v 38 Hivyo basi upesi mwombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume wafanya kazi katika mavuno yake."