sw_mat_text_reg/13/49.txt

1 line
209 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 49 Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. \v 50 Na kuwatupa ndani ya tanuru ya moto, ambako kutakuwa na maombolezo na kusaga meno.