sw_mat_text_reg/07/28.txt

1 line
185 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 28 Ulifika wakati ambao Yesu alipomaliza kuongea maneno haya, makutano walishangazwa na mafundisho yake, \v 29 kwa kuwa alifundisha kama mtu mwenye mamlaka, na si kama waandishi wao.