1 line
206 B
Plaintext
1 line
206 B
Plaintext
|
\v 5 Heri wenye upole, maana watairithi nchi. \v 6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watashibishwa. \v 7 Heri wenye rehema maana hao watapata Rehema. \v 8 Heri wenye moyo safi maana watamwona Mungu.
|