sw_mat_text_reg/26/71.txt

1 line
200 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 71 Alipoenda nje ya lango, mtumishi mwingine wa kike alimwona na kuwaambia waliokuwepo hapo, "Mtu huyu pia alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti." \v 72 Akakana tena kwa kiapo, "Mimi simjui mtu huyu."