sw_mat_text_reg/26/26.txt

1 line
146 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 26 Walipokuwa wakila chakula, Yesu aliutwaa mkate, akaubariki, na kuumega. Akawapa wanafunzi wake akisema, "Chukueni, mle. Huu ni mwili wangu."