sw_mat_text_reg/12/11.txt

1 line
291 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 11 Yesu akawaambia, "Nani kati yenu, ambaye ikiwa ana kondoo mmoja, na huyu kondoo akaanguka ndani ya shimo siku ya sabato, hatamshika na kumtoa kwa nguvu ndani ya shimo? \v 12 Je, ni kipi chenye thamani, zaidi kwani, si zaidi ya kondoo! Kwa hivyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.''