\v 17 Bazee benye banaongoka muzuli na heshima banastahili bahemiwe mana pili zaidi ya bale benye banafundisha. \v 18 Kwa sababu maandiko inesema: "hauwezi kufunga kinywa ya ngombe mwenye anatafuna, mufanya kazi anastahili na ujina (malipo) yake".