swc_1ti_text_reg/05/17.txt

1 line
247 B
Plaintext

\v 17 Bazee benye banaongoka muzuli na heshima banastahili bahemiwe mana pili zaidi ya bale benye banafundisha. \v 18 Kwa sababu maandiko inesema: "hauwezi kufunga kinywa ya ngombe mwenye anatafuna, mufanya kazi anastahili na ujina (malipo) yake".