sw_pro_text_reg/30/05.txt

1 line
157 B
Plaintext

\v 5 Kila neno la Mungu limejaribiwa, yeye ni ngao kwa wale wanaokimbilia kwake. \v 6 Usiyaongezee maneno haya, au atakukemea, na utathibitishwa kuwa mwongo.