sw_pro_text_reg/10/08.txt

1 line
194 B
Plaintext

\v 8 Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia. \v 9 Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.