sw_pro_text_reg/29/09.txt

1 line
174 B
Plaintext

\v 9 Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu. \v 10 Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.