sw_pro_text_reg/10/18.txt

1 line
189 B
Plaintext

\v 18 Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu. \v 19 Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.