sw_job_text_reg/22/26.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 26 Nawe utajifurahisha katika Mwenyezi; utamwangalia Mungu. \v 27 Utamwomba, naye atakusikiliza; utamtolea nadhiri. \v 28 Lakini pia utatamka lolote, nawe utapewa; nuru itaangaza maishani mwako.