1 line
197 B
Plaintext
1 line
197 B
Plaintext
|
\v 26 Nawe utajifurahisha katika Mwenyezi; utamwangalia Mungu. \v 27 Utamwomba, naye atakusikiliza; utamtolea nadhiri. \v 28 Lakini pia utatamka lolote, nawe utapewa; nuru itaangaza maishani mwako.
|