sw_job_text_reg/33/19.txt

1 line
187 B
Plaintext

\v 19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake, \v 20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.