sw_job_text_reg/33/19.txt

1 line
187 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake, \v 20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.