sw_job_text_reg/04/14.txt

1 line
175 B
Plaintext

\v 14 Ilikuwa usiku wakati nilipopatwa hofu na kutetemeka, na mifupa yangu yote ikatikisika. \v 15 Kisha nafsi ikapita mbele ya uso wangu, na nywele zangu za mwili zilisimama.