sw_job_text_reg/40/10.txt

1 line
169 B
Plaintext

\v 10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi. \v 11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.