sw_job_text_reg/40/08.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki? \v 9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?