sw_job_text_reg/29/17.txt

1 line
242 B
Plaintext

\v 17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake. \v 18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga. \v 19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.