sw_job_text_reg/25/01.txt

1 line
181 B
Plaintext

\v 1 Kisha Bilidadi Mshuhi akajibu na kusema, \v 2 "Utawala na hofu vipo naye; anaagiza mahali pa juu pake mbinguni. \v 3 Je kuna idadi ya majeshi yake? Ni wapi pasipo na nuru yake?