sw_job_text_reg/39/13.txt

1 line
254 B
Plaintext

\v 13 Mabawa ya mbuni hupunga kwa majivuno, bali je mabawa na manyoya yana upendo? \v 14 Kwa maana huuacha mayai yake katika nchi, na huyaacha yapate joto katika mavumbi; \v 15 husahau kuwa mguu waweza kuyaharibu au kwamba mnyama mwitu aweza kuyakanyaga.