sw_job_text_reg/08/16.txt

1 line
296 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote. \v 17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe; \v 18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'