1 line
194 B
Plaintext
1 line
194 B
Plaintext
|
\v 17 Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia. \v 18 Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
|