sw_job_text_reg/28/20.txt

1 line
203 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 20 Je hekima inatoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi? \v 21 Hekima imejificha mbali na macho ya viumbe wote na ndege wa angani. \v 22 Mauti na uharibifu husema, 'Tumesikia tu tetesi kwa masikio yetu.'