sw_deu_text_reg/33/05.txt

1 line
182 B
Plaintext

\v 5 Kisha pakawa na mfalme Yeshurumu, pale ambapo wakuu wa watu walipokusanyika, makabila yote ya Israeli pamoja. \v 6 Acha Rubeni aishi na asife, lakini wanaume wake wawe wachache.