1 line
169 B
Plaintext
1 line
169 B
Plaintext
|
\v 3 Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. \v 4 Kisha niliita kwa jina la Yahwe: "Tafadhali Yahwe, uiokoe nafsi yangu."
|