forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
406 B
Markdown
25 lines
406 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
Hapa msimuliaji anaanza kueleza sehemu mpya ya simulizi.
|
|
|
|
# Malaika wa Bwana
|
|
|
|
Bwana anamtokea Gidioni kwa mfano wa malaika.
|
|
|
|
# Ofra
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# Abiyezeri
|
|
|
|
Hili ni kundi la watu waliojiita baada ya babu yao Abiyezeri.
|
|
|
|
# akitenganisha ngano katika sakafu
|
|
|
|
Hii ni hatua ya kupura nafaka. Gidioni alipura nafaka katika sakafu ili kutenganisha ngano na makapi.
|
|
|
|
# Akamtokea
|
|
|
|
"akamwendea"
|
|
|