forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
632 B
Markdown
25 lines
632 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Hii inaendeleza nukuu ya nabii Yeremia katika Agano la Kale
|
|
|
|
# Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao
|
|
|
|
Hii ni sehemu ya pili ya ushuhuda wa Roho Mtakatifu (tazama 10:15). Kisha asema, "Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao."
|
|
|
|
# Sitazikumbuka dhambi zao
|
|
|
|
"Sitazikumbuka dhambi zao"au "sitafikiri tena kuhusu dhambi zao"
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Hii haimaanishi "wakati huu," lakini imetumika kuvuta usikivu kwa kipengele kinachofuata.
|
|
|
|
# mahali palipo na msamaha kwa mambo haya
|
|
|
|
"wakati Mungu aliposamehe mambo haya"
|
|
|
|
# hakuna tena dhabihu yeyote kwa ajili ya dhambi
|
|
|
|
"watu wao hawahitajiki kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi"
|
|
|