forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
560 B
Markdown
17 lines
560 B
Markdown
# Utakapotembea kijeshi dhidi ya maadui zako, basi unapaswa kujitenga
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# dhidi ya maadui zako
|
|
|
|
"kupigana dhidi ya maadui zako"
|
|
|
|
# kujitenga na kila aina ya uovu
|
|
|
|
"jitenge na mambo yote mabaya"
|
|
|
|
# mwanamume ambaye sio msafi kwa sababu ya jambo lililofanyika kwake usiku
|
|
|
|
Hii ni njia ya upole ya kusema ya kwamba alikuwa na kutokwa kwa shahawa . "mwanamume yeyote ambaye ni mchafu kwa sababu alikuwa akitokwa na shahawa alipokuwa amelala"
|
|
|