forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
575 B
Markdown
21 lines
575 B
Markdown
# Lakini Amazia hakutaka kusikia.
|
|
|
|
Hapa "kusikia" inarejea kutii onyo. "Ingawa, Amazia hakutii onyo la Yehoashi"
|
|
|
|
# Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akashambulia ... Amazia mfalme wa Yuda wakakuta uso kwa uso
|
|
|
|
Majeshi ya hawa wafalme yalienda kupigana nao. "Hivyo Yehoashi na jeshi lake wakaenda kupigana na Amazia na jeshi lake wakaonana uso kwa uso"
|
|
|
|
# Bethi Shemeshi
|
|
|
|
Huu ni mji katika Yuda karibu na mpaka wa Israeli.
|
|
|
|
# Yuda alishindwa na Israeli
|
|
|
|
"Israeli iliishinda Yuda"
|
|
|
|
# kila mtu alikimbia nyumbani
|
|
|
|
"watu wote waliokuwa katika jeshi la Yuda walikimbia nyumbani"
|
|
|