forked from WA-Catalog/sw_tn
376 B
376 B
1 Timotheo 06 maelezo kwa jumla
Dhana muhimu katika sura hii
tumwa
Paulo hasemi katika sura hii iwapo utumwa ni mzuri ama ni mbaya. Paulo anaandika kuhusu kuwaheshimu na kuwatumikia kikamilifu mabwana zao. Paulo anawafunza waumini wote kuwa na uungu na kutosheka katika kila jambo.
Links:
__<< | __