forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
552 B
Markdown
17 lines
552 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Yahwe atawatawanyisha miongoni mwa watu
|
|
|
|
Musa anazungumza kama watu walikuwa mbegu ambayo Yahwe ataitawanyisha kuzunguka eneo. "Yahwe atawatuma ninyi kwa maeneo mengi tofauti na kuwalazimisha kuishi huko"
|
|
|
|
# atawaongoza mbali
|
|
|
|
"atawatuma" au "atasababisha adui zenu kuwapeleka mbali"
|
|
|
|
# kazi ya mikono ya watu, mbao na mawe
|
|
|
|
Hapa "mikono ya watu" urejea kwa wanaume wenyewe, na "kazi...mbao na mawe" kwa sanamu ambazo wamezichonga. "sanamu za mbao na mawe ambazo wanaume wamefanya"
|
|
|