forked from WA-Catalog/sw_tn
850 B
850 B
Sentensi unganishi
Huu ni mwanzo wa sehemu ya hadithi kuhusu kukamatwa kwa Paulo.
Taarifa ya jumla
Mstari wa 29 unaelezea habari kuhusu Wayahudi kutoka Asia.
Siku saba
Hizi zilikuwa siku saba kwa ajili ya kujitakasa.
katika Hekalu
Paulo hakuwa ndani ya hekalu lenyewe. Alikuwa kwenye uwa wa nje wa hekalu.
Makutano wote wakashawishika
"Ilisababisha kundi kubwa la watu kuanzisha upinzani.
na wakamnyoshea mikono
Neno Kumnyoshea mikono" lina maana ya watu kuanza kumvamia.
watu, sheria na mahali
"Watu wa Israel, sheria ya Musa, na hekalu
mwanzoni walikuwa wamemwona...walidhani kwamba Paulo alikuwa ameingia na Myunani hekaluni
Mwandishi Luka anaelezea kwanini wayahudi kutoka Asia walimshitaki Paulo kuwa alimleta Myunani
Trofimu
Huyu alikuwa mwanaume Myunani ambaye Paulo alishitakiwa kuwa aliingia naye hekalu