forked from WA-Catalog/sw_tn
536 B
536 B
Mungu alinena naye hivi
Badaaye Mungu alimwambia Ibrahimu.
miaka mia nne.
Miaka mia nne (400).
nitalihukumu taifa
Neno "taifa" linamaanisha watu walio ndani yake. Mungu atawahukumu watu wa taifa.
ambalo litawafanya mateka
Nchi ambayo uzao wako watakuwa mateka.
akampa Abrahamu agano la tohara
Mungu alifanya Agano na Abrahamu la tohara kwa watoto wake wote wa kiume.
Abrahamu akawa baba wa Isaka
Ni habari inayoelezea Uzao wa Abrahamu.
na Yakobo akawa baba
Na Yakobo akawa baba, Stefana anaelezea kwa ufupi.