forked from WA-Catalog/sw_tn
823 B
823 B
Taarifa ya Jumla:
Hii ni sehemu ifuatayo ya maono ya Yohana. Anaelezea kuona ghafla kiti cheupe cha enzi na wafu wakihukumiwa.
Dunia na mbingu zilikimbia mbali kutoka katika uwepo wake, lakini hapakuwako nafasi ya wao kwenda
Yohana anaelezea mbingu na nchi kama vile ni watu wanaojaribu kutoroka hukumu ya Mungu. Hii inamaanisha kuwa Mungu aliaangamiza kabisa mbingu na nchi za zamani.
hodari na wasio wa muhimu
Yohana anaunganisha maneno haya yenye maana tofauti kumaanisha watu wote waliokufa.
vitabu vilifunuliwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu alivifunua vitabu"
Wafu walihukumiwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliwahukumu watu waliokuwa wamekufa na sasa wako hai tena"
kwa kile kilichoandikwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kwa kile alichoandika"