forked from WA-Catalog/sw_tn
334 B
334 B
Taarifa kwa uumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.
Mtairithi ardhi
Madai ya Waisraeli ya kuwa ile aradhi ni yao ndiko kunakofanya kusema kuwa watairithi ile ardhi.
Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhiitakuwa mali yake
"Kila ukoo utapata ardhi kulingana na kura itakavyokuwa"