forked from WA-Catalog/sw_tn
391 B
391 B
Wakeni
Hili ni jina la kundi la watu walitokana na Kaini
Mahali unapoishi pana usalamu
"Mahali unapoishi panalindwa"
na viota vyake viko kwenye miamba
"mahali penu pana usalama kama vile kioyta kilivyo salama kinapokuwa kwenye miamba"
Lakini pamoja na hayo, Kaini ataharibiwa na Ashuru atakapowachukua mateka."
"Lakini Waashuru watawaharibu Wakeni na kuwachukua kama mateka"