|
# Akayainua macho yake
|
|
|
|
"akatazama juu"
|
|
|
|
# Roho wa Mungu akamjia
|
|
|
|
Roho wa Muungu alimtawala wakati wa kutoa unabii.
|
|
|
|
# Akapokea huu unabii
|
|
|
|
"Mungu alimpatia huu unabii"
|
|
|
|
# Balaamu mwana wa Beori
|
|
|
|
Tazama 22:5
|
|
|
|
# ambaye macho yake yamefunuliwa
|
|
|
|
anaona na kuelewa
|
|
|