forked from WA-Catalog/sw_tn
564 B
564 B
Sentensi unganishi
Yesu anaanza kuwafundisha wanafunzi wake juuy msamaha
ndugu yao
waumini wenzake
utampata ndugu yako
"mtafanya mahusiano yenu mazuri tena na ndugu yako"
kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili ...kila neno linaweza kuthibitishwa
"mdomo" na "maneno" inamaanisha kile amabcho mtu anasema " ili kwamba wawili au watatu wanaweza kuthibitisha kile unachosema juu ya mwamini mwenzako"
Kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno linaweza kuthibitika
Yesu anatumia moja katai ya sheria ambazo Musa alaiwapati watu