forked from WA-Catalog/sw_tn
348 B
348 B
amani iwe nanyi
hii nisalamu ya kawaida
Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi...akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu"
Mungu Baba alimtuma Mungu Mwana anayewatuma waumini katika nguvu ya ya Mungu Roho.
Baba
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu
watasamehewa
"Mungu atawasamehe"
Watafungiwa
"Mungu hatawasamehe"