forked from WA-Catalog/sw_tn
416 B
416 B
Sentensi unganishi
wakanena, hapa inamaanisha Paulo na Sila..
nyumbani mwake
Mlinzi wa gereza aliwaleta Paulo na Sila nyumbani kwake"
yeye pamoja na watu wa nyumbani mwake wakabatizwa
"Paulo na Sila walimbatiza Mlinzi wa gereza pamoja na watu wote wa nyumbani kwake"
yeye...naye
Maneno haya yanamaanisha Mlinzi wa gereza
kwasababu wote waliamini
"kwasababu watu wote wa nyumbani kwake waliamini"