forked from WA-Catalog/sw_tn
324 B
324 B
alijitoa mwenyewe
"kujitoa mwenyewe afe kwa ajili yetu."
kutukomboa kutoka katika uas
Paulo anamzungumzia Yesu aliyetukomboa kana kwamba anawaweka huru watumwa kutoka katika mikono ya mabwana zao waovu.
watu maalumu
Ni kundi la watu anaowawekezea hazina
walio na hamu
"kuwa na tamaa au hamu kubwa ya ajabu"