forked from WA-Catalog/sw_tn
45 lines
1.2 KiB
Markdown
45 lines
1.2 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Baada ya salamu, Yohana anawaonyesha waumini kuwa upendo na kweli vinakwenda sambamba
|
|
|
|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Kihistoria mtume Yohana amekubalika kuwa ndiye mwandishi wa barua hii. Anasema "pendaneni" hii pengine barua hii liliandikiwa kanisa.
|
|
|
|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
"ninyi" na "yenu" katika barua hii yanaonyesha wingi
|
|
|
|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
katika barua hii Yohana anatumia maneno "sisi" na 'yetu" ikimaanisha Yohana mwenyewe pamoja na wasomaji wake
|
|
|
|
# Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake
|
|
|
|
Barua za wakati huo zilianza na jina la mwandishi, kwa kushupisha inaweza kusomeka:- " mimi, Yohana mzee, ninaandika barua hii kwa mwanamke mteule na watoto wake"
|
|
|
|
# Mzee
|
|
|
|
Ni rejea kwa Yohana, mtume na mwanafunzi wa Yesu. Anajiita mzee labda kwa sababu ya umri wake mkubwa au kwa sababu ni kiongozi kanisani.
|
|
|
|
# kwa mwanamke mteule na watoto wake
|
|
|
|
Pengine hii ina maana ya kundi au kusanyiko na waumini .
|
|
|
|
# ambaye nampenda katika kweli.
|
|
|
|
" Ninyi watu ninaowapenda katika kweli"
|
|
|
|
# wanao ifahamu kweli
|
|
|
|
"ambao wanao fahamu ukweli kuhusu Mungu na Yesu"
|
|
|
|
# Baba...Mwana
|
|
|
|
Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu
|
|
|
|
# katika kweli na upendo.
|
|
|
|
Neno "kweli" linaelezea "upendo." Pengine inamaanisha "katika upendo wa kweli"
|
|
|