forked from WA-Catalog/sw_tn
673 B
673 B
weka upuuzi na uongo mbali nami
"usiruhusu watu waongee upuuzi na uongo kwangu" au "usiniruhusu kuongea upuuzi na uongo"
upuuzi
uongo, maneno ambyo hana maana
usinipe umaskini wala utajiri
"usiruhusu niwe maskini sana wala tajiri sana"
kama nitapata vingi sana, nitakukataa wewe na kusema
Ni hali ya nadharia, msemaji si tajiri lakini inawezekana kuwa tajiri
kama nitakuwa maskini, nitaiba na kukufuru
Hii inaelezea hali ya nadharia ambayo haijatokea lakini inawezekana mwandishi akawa maskini
nitaiba na kukufuru jina la Mungu
"nitawafanya watu wanaojua kuwa nimeiba vitu wafikiri kuwa hakuna Mungu" au " Nitaharibu heshima ya Mungu kwa kuiba"