forked from WA-Catalog/sw_tn
559 B
559 B
Maelezo ya Jumla
Hekima ananena kwa watu katika mistari 4-36
Maelezo ya Jumla
Mistari mingi katika sura ya 8 ni mlinganisho au usambamba
Je Hekima haiti?
Hekima anaita
Je Hekima haiti?
Maana yake 1)Je hekima siyo kama mwanamke ambaye huita? 2) Je mwanamke aitwaye Hekima haiiti?
Je Ufahamu hapazi sauti yake?
Hapa neno "Ufahamu" ni sawa na neno "Hekima"
malango kwenye njia ya kuingia mjini
Nyakati za kale, miji mara nyingi ilikuwa na kuta za nje pamoja malango.
anaita
Hekima imevikwa sifa ya utu kama mwanamke(angalia Tashhisi)