forked from WA-Catalog/sw_tn
909 B
909 B
Maelezo kwa umumla
Mwandishi anannukuu toka Zaburi kuonesha kuwa mafundisho ya Yesu kwa mfano ni kwa ajili kutimiza unabii
Hayo yote Yesu aliyasema kwa mifano, Na pasipo mifano hakusema chochote kwao
Sentensi zote zina maana moja. Zimeunganishwa kusisitiza kwamba Yesu alifundisha makutano kwa kutumia mifano.
hayo yote
Hii inamaanisha kuwa kile alichofundisha Yesu kinaanzia 13"1
Pasipo mifano hakusema chochote kwao
""hakufundisha chochote isipokuwa kwa mifano"
kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema
alaikifanya kiwe kweli kile alichokuwa amemwambia mmoja wa manabii kukiandika hapo zamani
aliposema
nabii aliposema
nitafumbua kinywa chcangu
Hii ni nahau inayomaanisha kuwa nitasema "nitasema"
yaliyokuwa yamefichwa
mambo ambayo Mungu ameyaficha
tangu misingi ya ulimwengu
"tangu kuanza kwa ulimwengu" au tangu Mungu aumbe ulimwengu"