forked from WA-Catalog/sw_tn
408 B
408 B
wakaweka mikono yao juu ya kichwa
Tazama jinsi lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3
mpembe za madhabahu
Tazama jinsi lilivyofasiriwa katika sura ya 4:6
kuitenga kwa Mungu
"tenga madhabahu kwa ajili ya Mungu"
kufaa kwa kufanyia upatanisho.
"Upatanisho" hapa humaanisha kuifanya madhabahu ifae katika kumtumikia Mungu. : "ili kuifanya mahali pa kufaa kwa ajili ya kuteketezea dhabihui ya dhambi"